Miracle Baby explains why Sailors Gang fell apart

Image: Sailors Gang- Photo credits- Google

The debate over what caused Gengetone to end has been resurrected by Peter Miracle Baby of the former Sailors Gang.

Peter stated that Gengetone is dead in his YouTube video and blamed cartels for his death. However, many Kenyans disagree with the singer.

According to Miracle Baby, the contracts they signed were what first led to their demise as a music group.

“Kuna wasee wanaitwa ma cartels wanajiita sasa Hawa wasee wakakaa chini. Wakiwa huko majuu Kuna time ni genge tuu ilikuwa inaskizwa Kenya.

Sasa kuna hawa wasee kadha wakaungana wakaona eh music yetu tukiwa huku music yetu tukiwa huku kuna place Africa haifiki oh music yetu haifiki Kenya, wakachunguza ni nini inaweza kuwa inafany amusic yetu isiende hadi Kenya. Waka come kunotice ni vijana fklani wametokea mbogi rende inashikana hivo wanapiga mzuka mbaya.

Wanajiita aje? Ati wote wanjiita gengetone. Wakasema wacha tuwaonyeshe. Wakatuma wasee kutoka nahuko Sasa vijana hip time wanataka doh. Huwezi kuwa unajulikana hip time yote na hauna kakitu unanipatra? Wakajua oh nyinyi ni pesa mnataka? Wakasema.

Hao wasee wakakuja Wakaanza kuambia vijana manze tutawapatia hii doh mwisho wa mwezi, tuta kuwa tuna walipia studio na tunawalipia video.

Wanalipai video an audio imeenda? wacha basi tuendelee na shughuli yetu. tukasign. Kila msee was genge toen alisign kwa hiyo na manajua pia saa hii mnaisikianga.

“Tukising mimi niliona tumesign pages mbili agreement wakati ilicome kuisha tuliletewa paper yenye tulisign alafu kuan papers zingine ziko juu ka ishirini na nikajiuliza ngai mwathani sisi tulisgn hizi papers zote?”

 

About this writer:

Ozymandias

My name is Ozymandias, King of Kings; Look on my Works, ye Mighty, and despair! Nothing beside remains. Round the decay