Vanessa Mdee reveals how boyfriend Juma Jux made moves on her and got her tripping in love 

Singer Vanessa Mdee is madly in love with her boyfriend Juma Jux who she had dated for five years now. In a recent interview with Wasafi TV, Mdee opened up how the two met saying that  it was during a studio session.

She also confessed that it was the first place they kissed as their love started blossoming.

Tulikuwa tukizungumza for some time.  Alikuwa akinishawishi kutoka naye lets go for drinks twende tukale. So alikuwa akinitipianga from work, siku moja akaniambia anaenda studio kuna wimbo nataka uongeze vocals kwenye chorus. Hio ilikuwa baada ya sisi kuzungumza kwa muda mchache. Kipindi hicho Juma alikuwa amepata matatizo na ex-girlfriend wake so walikuwa wametengena”, she said.

Adding:

“Nlikuwa na muona ni kama mpweke because the first time I met him alikuwa na Jacky alafu kipindi hicho tukiwa studio alikuwa anampigia simu Juma [uko na nani studio saa hizi], that was before anything happened. Tukimaliza session ananishukisha home na dinga kali; I didn’t have a car then. Siku moja Akaniambia twende studio. Kufika we did shots then I had to go and throw up. Nikaingia kwenye gari nikachill ni kama Napata upepo and it happened, the first kiss”. 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua