Wema Sepetu ends longtime beef with Muna after her child’s death 

Socialite Wema Sepetu has come out to share that her longtime beef with Muna Love has come to an end after Muna lost her daughter.

The socialite, in Muna’s son’s Patrick Peter memorial, asked Muna to forget what happened between them in the past.

forget it

Muna pole sana najua ulivyokuwa unampenda Patrick, najua ulivyokuwa unamthamini na mapenzi yako ndio yalitufanya sisi hapa watu wa karibu tumpende zaidi. Mapenzi yangu mimi kwa watoto huwa yako very sincere na nilimpenda sana Patrick.

She went on:

“Najua kwamba hakuna mzazi ambaye anapenda kumzika mwanae. I believe mwenyezi Mungu atakupa nguvu wewe pamoja na babake mzazi wa Patrick na kuhusu mitandao hebu tuyaache ya mitandao yabaki mitandaoni. Nina Imani kwamba mtoto wenu atakuwa na furaha Zaidi akiona kuna upendo kati yenu na sio huu mgawanyiko ambao unaendelea. Muna unajua nakupenda na nitaendelea kukupenda yaliyopita si ndwele tugange yajayo,” she said.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua