Alikiba ako na beef kubwa sana na Diamond lakini anapenda nyimbo za wasanii kutoka Wasafi

Alikiba na Diamond hawali chungu moja kwasababu kadhaa wa kadhaa, hata hivyo Kiba hana beef na wasani wengine kutoka Wafasi.

Hit maker huyo wa ‘Aje’ ameonekana kwenye video akifurahia and kuimba wimbo wake Rayvanny ‘Kwetu’ akiwa kwa gari.

download latest music    

Rayvanny pia amewai kusikika akisema kuwa hana tatizo lolote na Alikiba. Alisema kuwa yeye humchangamia Kiba kokote wakutanapo.

“Alikiba huwa nikikutana naye napiga naye stori, tunasalimiana tunacheka, ananiambia kuwa nafanya kazi nzuri, hatujawahi kuongea sana. Ikitokea siku naweza kufanya naye kolabo kwasababu ‘end of the day’ wote tunafanya muziki ni biashara pia, mashabiki wetu wanapenda kuona ‘combination’ za watu tofauti tofauti, hata nikikutana naye hatufungiani vioo,” Rayvanny aliambia Clouds FM kitambo.

Rayvanny

 

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere