Anavyo onekana Diamond baada ya kunyoa rasta zake (Photos)

Diamond Platnumz sasa hana rasta tena, hit maker huyo wa ‘Marry You’ aliamua kunyoa kwa ajili ya album yake ambayo anataka kuipromote.

Baba Tiffah alisema kuwa anatengeneza mwili wa kutolea album yake mpya kabla aanze kuipromote.

download latest music    

“Sasa hivi naelekea kutoa album yangu…namalizia kwa hiyo narudi kutengeneza mwili wa kutolea album alafu nianze kufanya promotion ya album yangu mpya…”Diamond aliandika kwenye Instagram.

Diamond kabla ya kunyoa rasta zake

Kuhusu kunyoa rasta yake, Diamond alieleza kuwa nyimbo zake kwenye album yake mpya zinatoa hisia ya huruma kwa hivyo ilimbidi anyoe rasta zake ile aweze kuonyesha hisia ya huruma.

“Nywele zangu nazitoa muda sio mrefu kwasababu nashoot ngoma zangu za huruma huruma zile…ukishoot na rasta unaonekan,” Diamond aliongezea.

Diamond baada ya kubadilisha muonekano wake wa nywele

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere