Tazama jinsi Diamond alivyobaki akiduwaa baadaya ya Zari kupata vipuli visivyo vyake chumbani mwao

Diamond alinaswa na mke wake Zari Hassan walipokuwa wakionyesha bidhaa za Danube kwenye tangazo.

Tangazo hilo lilikua linaonyesha bidhaa za Danube zinazouzwa GSM Mall jijini Dar es Salaam. Diamond na Zari walitumiwa kuonyesha bidhaa hizo.

download latest music    

Hit maker huyo wa Marry Me alibaki akiduwaa baadaya ya Zari kupata vipuli visivyo vake chumbani mwao katika tangazo hilo.

Kiswahili cha Zari kimeimarika sana; Zari, mzaliwa wa Uganda, alizungumza Kiswahili mufti alipotokea kwenye tangazo hilo.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere