Baraka the Prince azua uvumi baada ya kufanya hili

Uvumi umezuka katika mitendao ya kijamii baada ya mwimbaji Baraka the Prince kuonekana na meneja wake Diamond – Babu Tale.

Baraka ameongelewa sana baada ya kupost picha kwenye mtandao wake wa Instagram kama yuko na Babu Tale.

download latest music    

Wengi wa mashabike wake Baraka the Prince wanadhani staa huyo anajiunga na kambi la Diamond Platnumz – Wasafi Records WCB.

Baadhi ya mashabiki wamekuwa wakicomment kwenye picha hiyo wakisema kuwa Babu Tale anamshawishi Baraka kujiunga na Wasafi.

Kuna wale pia wanaodhani Babu Tale anataka Baraka the Prince aweke wimbo zake katika tovuti la wasafi kama wasanii wengi (wasio sajiliwa na Wasafi) walivyofanya.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere