Darassa ana huzuni sana na ni kwa sababu ya mambo haya yanayotendeka Tanzania

Darassa CMG ana huzuni mingi na ni kwa sababu ya mambo yanayoendelea Tanzania wakati huu.

Hana furaha hata kamwe.

download latest music    

Anaogopeshwa na future ya nchi na mambo yanavyoendeshwa kwenye serikali and anaogepea watoto na wanawake wataangamia siku zijazo.

Huu ndio ujumbe alio utoa kwenye instagram yake:

BABA MUNGU SHUKA WEWE UENDESHE NCHI YETU! BORA TUPOTEE SISI NI SAWA!!!! vip kuhusu watoto wadogo na wanawake!!!! Future ya nchi inaogopesha na huitaji macho kuona hili ? sina chama wala upande m1 kwenye shilling!!! maana sijui hata nani anatupenda kweli sisi wananchi na atakua tayari kututhamini! ???

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi