Dawa za kulevya kando, Ray C sasa yuko tayari kutawala kimuziki tena

Matumizi ya dawa za kulevya ndiyo ilisababisha Ray C kupoteza nafasi yake kama malkia wa nyimbo za Bongofleva na hatimaye kupoteza ushawishi aliokuwa nayo.

Ray C hatimaye ameebuka mshindi katika mapabano na matumizi ya dawa za kulevya. Katika mahojiano na Bongo5, Ray C alisema yuko tayari kutawala kimuziki tena.

download latest music    

Staa huyo wa kitambo alisema ako na nyimbo karibu kumi ambazo zitauzwa kwa tovuti la Wasafi.com punde atakapoziachilia.

Tazama mahojiano hayo kwenye video hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere