Diamond afungua ofisi mpya ya Wasafi nchini Rwanda

Msanii Diamond Platnumz amazindua ofisi mpya ya label yake ya Wasafi. Hit maker huyo wa ‘Marry Me’ alisafiri kuelekea Rwanda baada ya kurejea kutoka nchini Oman alipoenda kutumbwiza mashabiki wake.

Diamond alitangaza kuwa tawi mpya la Wasafi nchini Rwanda utafunguliwa rasmi hivi punde, alisema kuwa ataka wasanii nchini Rwanda kuuza muziki wake kwa tovuti ya Wasafi.

download latest music    

“Mapema baada ya kukamilisha kikao na Makubaliano na kampuni itayokuwa tawi letu ama agent wa Wasafidotcom nchini RWANDA… Muda si Mwingi nitawatangazia Wasanii wote wa Rwanda ni namna gani mnaweza kuwa na Acount za kuuza nyimbo zenu Wasafidotcom,” Diamond alisema.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere