Diamond afunguka kuhusu wimbo wake anao udhamini sana

Diamond Platnumz anajivunia hits kadhaa alizozitoa tangu aanze kuimba. Wimbo wake ‘Mbagala’ ndio ulio mfanya ajulikane Afrika Mashariki.

‘Number One’ ilifanya Diamond ajulikane barani Afrika, Davido alitoa remix na Diamond baadaya ya kuupenda wimbo huo.

download latest music    

Lakini hata hivyo ‘Mbagala’ na ‘Number One’ sio wimbo ambazo Diamond ana dhamini sana kama hit yake ‘Kamwambie’.

Hit maker huyo anasema ‘Kamwambie’ ndio wimbo wake ambao ulimtambulisha kwenye Bongo fleva na ata kumfanya kushinda tuzo kadhaa.

“This song called #KAMWAMBIE , it’s the song which introduced me to the Bongo flavour Market 7 Years back….it also Made me Win Triple Awards, Song of the Year , R&B song of the Year and Upcoming artist of the year,” Diamond aliandika.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere