Diamond akutana na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda katika ofisi ya Wasafi kuzungumzia wizi wa kazi za wasanii

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda alikua mgeni wake Diamond Platnumz jana Aprili 4. Makonde alialikwa katika ofisi ya Wasafi na staa huyo wa muziki.

Afisa huyo wa police alifanya kikao na wadau wakuu wa Wafasi, walizungumzia wizi wa kazi za wasanii na mambo kadha wa kadha zikiwemo changamoto mbalimbali.

download latest music    

Tazama kikao hicho kati ya Wafasi na Paul Makonda kwenye video hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere