Diamond atapigwa na butwaa! Zari Hassan ajiandikisha kufanya mazoezi na bondia huyu

Mkewe Diamond Platnumz, Zari Hassan, amejiandikisha kufanya mazoezi na bondia fulani anayejulikana kama Tumiseeco.

Zari, ambaye ni mama ya watoto watano, ameweza kusitiri uzee kwa kufanya mazoezi ya kimwili na kula vyakula ambavyo hayaongezi mafuta mwilini.

download latest music    

Zari alitangaza kwamba amejisajili kufanya mazoezi ya kimwili na Tumiseeco wiki moja iliyopita. Bondia huyo ako na misuli kila sehemu ya mwili yake.

Zari na Tumiseeco

“Meet Tumiseeco a lifestyle coach, fitness trainer…. earlier this week I signed up with him. Can’t wait to see what he will do with this body of mine… DM him for your fitness routines and eating plan program…” Zari aliandika.

Tazama picha zake Tumiseeco hapo chini:

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere