Diamond na Belle 9 waamua kumnurusu Saida Kalori

Baada ya kutoa ‘Salome’, Diamond alikemewa na watu wengi walio dai kuwa alitumia wimba wa Saida Kalori bila ya msani huyo kunufaika.

Saida Karoli anatajika kwa hit yake ‘Maria Salome’ ambayo ilimpa publicity sana nchini Tanzania na hata Afrika Magharibi na nchi zingine barani.

download latest music    

Diamond na Belle 9 sasa wameamua kumnurusu Saida Kalori, wawili hao watashiriki katika albamu yake itakayoitwa ‘Naamka’.

Diamond na Saida Kalori

Akilonga na Showbiz, Saida alisema kuwa anamshukuru Mungu amerudi tena kwenye muziki na wasanii hao wamempa nguvu ya kufanya vizuri katika albamu

“Nimeamka tena jamani nashukuru nimebebwa na wasanii wenzangu Diamond na Belle9 ambao nimewashirikisha kwenye nyimbo zangu ambazo zipo kwenye albamu itakayotoka hivi karibuni,” alisema Saida.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere