Diamond Platnumz awaonyesha mashabiki wake Pete na cheni mpya alizozinunua Tsh 158 million

Image: Diamond Platnumz

Kweli Diamond Platnumz sio mtu wa mchezo. Mwimbaji huyo wa Tanzania ameaacha mashabiki wake kama wameduwaa baada ya kuonyesha pete na cheni zake mpya alizozinunua millioni 158 pesa za Tanzania.

Ata hivyo hii sio mara ya kwanza ya huyo muimbaji kuaonyesha baadhi ya vitu anavyovimiliki vya thamani ya juu. Kupitia mtandao wake wa Instagram aliandika kusema…

download latest music    

Thanks God for my new GOLD & DIAMONDS collection…i never thought i would be able to hang 50,000$ on my neck

Aliendelea kumshukuru mungu akisema kuwa kila siku anapata baraka amabazo ata yeye mwenyewe haamini kuwa angepata. Kwenye picha nyingine aliandika kusema…

“Thanks God for your daily blessings never thought i would be able to walk with 22,000 $ on my Hand!!!… jus get inspired @sallam_sk don’t hate.”

Tazama hizi cheni na pete hapa chini.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua