Harmonize awajibu haters walio mkashifu baada ya kutoa video yenye utata

Harmonize aliweka wimbo wake mpya ‘Niambie’ kwa YouTube tarehe 16 Machi 2017. Wimbo huo umezua utata kwa sababu kuna watu wanasema haijaendana na maudhui ya audio.

Watu wengi wakitoa maoni yao walisema kuwa audio inajenga picha ya umaskini lakini kwenye video Harmonize anaonekana kwenye maisha ya kitajiri sana.

download latest music    

Akionge kwenye kipindi cha Prince Ramalove kupitia ya Kings FM, Harmonize alifafanua kuwa kwenye video yeye alikuwa kijana maskini ambaye alikua na mpenzi tajiri aliyempa kila kitu.

“Sina mtonyo lakini naishi kwake,sasa nikiishi kwake na yeye ana hela,ntafanyaje?”Alifafanua Harmonize.

Tazama hio video hapo chini:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere