Harmonize awataja warembo wawili kutoka Kenya ambao wanampendeza sana

Harmonize alisafiri kuenda Nairobi, Kenya kupigia upato nyimbo zake. Staa huyo kutoka Wasafi Records WCB amefanya mahojiana na vitua vya habari kadhaa jijini Nairobi.

Katika mahojiano na kipindi cha Mambo Mseto ya Radio Citizen hapo jana, Harmonize aliulizwa kumtaja mrembo kutoka Kenya anayemgusa sana.

download latest music    
Mzazi Willy Tuva na Harmonize wakiwa Citizen Radio

Harmonize alicheka na kuwaza kwa sekunde chache kabla ya kusema kwamba Kenya iko na watoto wazuri wengi.  Hata hivyo alisema Huddah Monroe and Vera Sidika ndo wanampendeza sana.

“Suppose kama haugekuwa na Wolper alafu ibidi uwe na mchumba hapa Kenya ni mrembo mgani wa humu nchini Kenya ambaye huwa ana ‘Kugusa’ kinyama?” Harmonize aliulizwa.

“Kenya kuna watoto wazuri kabisa… …mtoto VERA hivi…. mtoto MONROE hivi….wako wengi bana, wote wako sawa,” alijibu Harmonize.

Huddah Monroe

 

Vera Sidika

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere