Harmorapa aongelea wanadada watano Tanzania ambao angetaka kuwa na uhusiano wa kimapenzi nao…nambari moja ni Wema Sepetu

Harmorapa alikuwa kwenye Millard Ayo juzi ambapo alizungumzia mambo mbali mbali la kwanza ikiwemo wanadada ambao angetaka kuwa na uhusiano wa kimapenzi nao mle Tanzania.

Na kama wasanii wengine wote Tanzania, wa kwanza alikuwemo Wema Sepetu ambaye Harmorapa alisifia ubo lake sana na pia macho yake.

download latest music    

Wa pili alikuwemo Lulu and bado akaendelea.

Pata ujumbe wote kwenye hii video:

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi