Hawa Ndio Mastaa Wa Kike Wanaopenda Wanaume Wenye Umri Mdogo (Viben-10)

Moja kati ya vitu vilivyo zoeleka kwenye jamii zetu kwenye masuala ya mahusiano kati ya mwanaume na mwanamke ni umri, tumezoea siku zote kuwa ni lazima mwanamke awe na umri mdogo na kuliko mwanaume yaani mwanaume lazima awe na umri mkubwa kwenye mahusiano.

Kitokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia na ujio wa wazungu basi hilo limebadilika hivi sasa unaambiwa umri  sio kitu bali ni namba tu cha maana mapenzi tu baina ya wawili haijalishi una umri gani.

download latest music    

Hilo pia linatokea pia kwa mastaa wetu ambao wadada wengi sahivi wanapenda kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wadogo kiumri kwa sababu wanazozijua wao wanawake hao wanaitwa masugar mama na vijana wanaolelewa wanaitwa viben-10, serengetiboys au maryoo.

Hawa ni baadhi tu ya mastaa waliowahi kuwa na uhusiano wakimapenzi na wavulana wadogo au mpaka sasa bado wana uhusiano nao.

1. Wema Sepetu na Idris Sultan

Wema Kazaliwa Mwaka 1988 na Idris Kazaliwa Mwaka 1993

2. Zarinah na Diamond

Zari Kazaliwa Mwaka 1980 na Diamond Kazaliwa Mwaka 1989

3. Irene Uwoya na Dogo Janja

Uwoya Kazaliwa Mwaka 1988 na Do go Janja Kazaliwa Mwaka 1994

4. Shilole na Nuh Mziwanda

5. Nisha na Baraka Da Prince

6. Irene Uwoya na Msami Baby

7. Jacqueline Wolper na Brown

 

Je unahisi ni staa gani mwingine anafaa kuingia kwenye orodha hii?

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.