Huu ndio ujumbe Alikiba aliomwandikia binti yake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa

Image: alikiba na mwanae

Alikiba ameonekana kuwa baba aliyenafuraha baada ya binti yake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa hivi juzi. Baba huyu ambaye amekuwa akiwaeka watoto wake kipaumbele hakusita kuzipost picha za mwanae huku akimuandika ujumbe wa kupendeza.

Ingawa ni star mkubwa Tanzania, Alikiba huwa anapenda kuwaeka watoto wake off social media na anapowapost yeye huwa akisheherekea siku zake za kuzaliwa.

download latest music    

Mwaka huu inaonekana akumfanyie binti yake birthday kubwa kama ya mwaka uliopita. Hata hivyo haimaniishi kuwa upendo wake kwake umepungua. Muimbaji huyu siku hizi anaonekana kuwa mtu anayeshughuli mingi na career yake ambayo inaonyesha matumaini ya kugrow.

Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram, king Kiba aliandika kusema…

Happy Birthday My Princess ? nitakupenda siku zote ❤️ @Amiyakiba #SupportedByKiba #KingKiba

Binti ya Alikiba
Binti ya Alikiba

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua