Huu ndio ujumbe mirror aliutoa kwa Wema Sepetu baada ripoti kutokea kwamba Wema alimtenga alipopata ajali

Image: Wema Sepetu

Leo katika show ya U heard ya clouds FM, Saudi Brown alibahatika kuongea na mirror ambaye anaendelea kupona kutokana na ajali aliyoipata ya gari.

Mirror anayedaiwa kutelekezwa na Management yake wakati anajiuguza hadi kupona kutokana na kupata ajali ya gari na alizungumzia hiyo ishu mara ya kwanza.

download latest music    

wema sepetu

“Hamna, mimi sina matatizo na mtu, Madam sina tatizo naye hakuwahi kuja kunitembelea nyumbani sijajua labda yupo busy na kazi zake ila sina tatizo naye japo kuna wasanii kibao wamekuja kunitembelea. Watu wengi sana, ila sina noma na mtu yoyote” – Mirror.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi