Jibu Madee alilolitoa baada ya kuulizwa kuhusu mwanawe na msichana mwingine akiwa kwenye uhusiano

Leo kwenye kipindi cha Uheard cha Soudy Brown leo moto ulikuwa umewaka na ni baada ya  mkali wa muziki wa Bongofleva kutoka Mazense Madee kuulizwa kuhusu mtoto aliye naye msichana anayejulikana kama Minah.

Mtoto huyu alizaliwa wakati Madee alikuwa kwenye uhusiano mwingine na jambo hili liifanya penzi lao kuyoyoma.

download latest music    

Kulingana na Madee, wakati haukua kamilifu kuongelea jambo hilo aliambia Soudy Brown.

”Sasa kama nina mtoto mpya Soudy wewe ni nani mpaka nikuambie..? Taarifa zikiwa rasmi nitakuambia.” Alieleza kikamilifu

Minah yeye alikuwa tayari kuongea na hili ndilo jambo alilolisema:

”Asante mtoto mpya ana miezi minne, halafu sina rafiki anayeitwa Soudy na mbona Madee hajanitambulisha kama wewe ni rafiki yake. Kama Madee ni rafiki yako mbona hajakuambia jina la mtoto?”

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi