Kuna nini? Rich Mavoko na Nay wa Mitego wakijibizana mitandaoni

Kuna dalili za Rich Mavoko na Nay Wa Mitego kuanza beef baada ya majibizano yao mitandaoni ya kijamii hivi karibuni.

Hii ilianza baada ya Mavoko kuposti picha na maneno ya kuwajulisha mashabiki wake kuwa anatarajia kuachia nyimbo mpya hivi karibuni kwa kuandika.

download latest music    

Haya Mkimaliza Mambo Zenu Za Siasa Mtupe Tarehe Na Sisi Tufumue Hiii ? #Showme

Lakini baada ya masaa kadha Nay wa Mitego alirepost picha hiyo ya Mavoko na kumchana kwa kumwambia kuwa ngoma yake mpya WAPO ndio inapaswa kutiliwa maanani na wananchi. Aliandika kusema,

Haya Mkimaliza Mambo Zenu Za Siasa Mtupe Tarehe Na Sisi Tufumue Hiii ? #ShowmeNAOMBA MUENDELEE KUSUBILI, MAY BE MPAKA MWAKANI 2018, NDO MTAANZA KUJISHUGHULISHA NA MASWALA YA KUWAIMBIA WANA NCHI. MWAMBIENI NA BABA YENU PIA AWE MPOLE KWASASA ALEE WATOTO. KAZI TULIYO NAYO IKIENDA SAWA TUTA WARUHUSU MUENDELEE KUBURUDISHA WANA NCHI. TUNATAKA MAMBO YAENDA SAWA KWANZA✊?.
Wimbo wetu wa TAIFA ni #Wapo LINK ON MY BIO☝?️

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua