Malkia wa Taarab Khadija Kopa amwomba Diamond kusign mwanawe katika WCB

Diamond alishirikiana na Khadija Kopa kutoa ngoma kali sana unaoitwa ‘Nasema Nawe’. Wimbo huo ulipendwa sana na mashabiki kwasabubu ya wanawake wanaotingiza makalio zako kwenye video.

Akizungumza na Ayo TV, Khadija alisema Diamond atatambulisha mwanawe kama msanii wa Wasafi Classic Baby (WBC) wakati wowote.

download latest music    
Khadija Kopa akitumbuiza

Malkia huyo wa Taarab aliambia Ayo TV kuwa alimwomba Diamond kusign mwanawe na bado anangoja jibu kutoka kwake.

“Nilikwenda kwa Diamond Platnumz nikamwambia amsikilize mwanangu akamsikiliza na anasema amemuelewa yuko anasubiria kwani subira yavuta heri ndio riziki yake mwanangu kuimba kama isingekuwa riziki yake basi angepata label nyingine kwahiyo tutegemee muda wowote mwanangu kusainiwa WCB,” Khadija Kopa alisema.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere