Mke wa Roma Mkatoliki azungumza mara ya kwanza baada ya mumewe kutekwa

Ni wiki chache tu kutoka Roma Mkatoliki awachilie huru baada ya kutekwa na watu asiyewatambua.

Alitekwa kwenye sttudio yake lakini baada ya kulalamika kwingi kwa wa Tanzania akaachiliwa.

download latest music    

Sasa amo nyumbani ana pumzika na mke wake Nancy Mshana amezugumza kwa mara ya kwanza kutoka muwewe atekwe.

Mrembo huyo ametumia maneno ya kwenye Biblia kutoka katika kitabu cha Yeremia kufikisha ujumbe wake kwa watu ambao wamemfanyia ubaya mume wake na kusema kuwa na wao watakutwa na mabaya hayo.

“(Yeremia 30:16-17) Basi, watu wote wakulao wataliwa; na adui zako wote watakwenda kufungwa; kila mmoja wao; na hao waliokuteka nyara watatekwa; na wote waliokuwinda nitawafanya kuwa mawindo. Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema Bwana.Ameen” Alinukuu mke wa Roma Mkatoliki.

Bali na hilo amewashukuru wa Tanzania wote ambao wamesimama na familia yake wakati huu mgumu.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi