Msanii wa muziki wa hip hop Bongo,‘Tammy The Baddest’ aeleza kwanini anapenda nguo fupi fupi

Kama mnamjua Tamara Ally ‘Tammy The Baddest’ basi unaelewa mavazi ambayo yeye huyavaa kwenye video zake. Si siri kuwa anapenda vitu fupi ambazo humuacha akikaa ni kama yuko uchi, lakini hiki ni kitu cha kawaida kwake.

Katika interview na Global Publishers msanii huyu alisema kuwa yeye amezoea mavazi ya aina hii na hata akiwa nyumbani kwao na wazazi wake yeye huvaa hivi kwani wamemzoea nahata hivyo si ajabu kitu cha ajabu.

download latest music    
Tammy
Tammy

Aliendelea kusema kuwa kukaa nusu utupu anajichukulia poa kwani ni kawaida mwanamke kujiachia na lifestyle yake.

“Mchumba utupu mara kwa mara kuwa ni mazoea.kukaa nusu utupu wangu mwenyewe ananichukulia poa kwani ni kawaida mwanamke kujiachia just life style tu, hata kwenye video yangu (Mtoto wa Kike) nimeonesha hadi nguo ya ndani mbona ni vitu vya kawaida tu jamani.”

Sasa hivi anapepea na nyimbo yake mpya ya Mtoto wa Kike ambayo yeye pia anaonekana kuwa nusu uchi.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua