Mwanamuziki Barnaba aongelea uhusiano wake na mama wa watoto wake na sio mzuri

Mwanamuziki Barnaba amejitokeza na kuzungumza mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na mzazi mwenzake ambaye wamefanikiwa kupata mtoto mmoja na hii ni baada ya ripoti kutokea ya kwamba waliachana.

Akiongea kwenye kipindi cha XXL cha Clouds FM, hitmaker huyo wa Lover Boy amesema, “Kwa sasa siko kwenye maelewano mazuri na mama watoto wangu. Sio kwamba tumeachana au tumetengana sitaki kusema hivyo.”

download latest music    

“Siwezi kusema simpendi mwanamke niliyepata nae mtoto [mama Steve],yule ameshakua kama ndugu yangu.Namrespect sana mama Steve ila kila mtu anaendelea na maisha yake na hatutaki kutengeneza picha mbaya kwa mwanetu,” ameongeza.

Hilo swali liliulizwa baada ya kuzindua wimbo wake mpya lonely.

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi