Mwanamuziki mashuhuri Shilole ajiaibisha wakati video yake akishindwa kuongea kingereza yaibuka mitandaoni

Mwanamuziki Shilole amekuwa kicheko cha wengi mitandaoni leo wakati video yake akijaribu kuzungumza kingereza ilipo ebuka kwenye mitandaoni.

Video hiyo inaonyesha mwanamuziki huyu akitamka lugha bila uwakilifu wowote ama ustaarabu.

download latest music    

Kwa mwamuziki huyo mwenye kutambulika sana Tanzania na ambaye anajiona kama mwanamuziki wa kimataifa, video hiyo ni ya iabu sana.

Hata kuwa wa kwanza kwa sababu ata Diamond mwenyewe alijiaibisha wakati mmoja akihojiwa na mwanahabari huko Afrika kusini.

Mtazame Shilole kwenye video hiyo:

Bongo ni movie tuuuuuuu hadi huruma?

A post shared by nelson (@nelyhassan) on

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi