Mwanamuziki mashuhuri Temba amsifia Paul Makonda kwa kazi anayoitenda ya kupigana na dawa za kulevya

Mwanamuziki mashuhuri Temba ametokea kumsifia  Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kwa kazi anayoifanya kupigana na madawa ya kulevya.

Paul Makonda amekua ofisini kwa mwaka mmoja na tayari amefanya mabadaliko makubwa ambayo yametambulika Tanzania na nchi zinazo karibia kama Kenya.

download latest music    

Kuamua kwake kulenga wanamuziki san asana lilishtua wengi lakini kweli matokeo yake inaonekana. Hilo ndilo jambo limefurahisha Temba ambaye alizungumzia jambo hilo kwenye Millard Ayo.

“Kwanza nianze kwa kumpongeza Makonda pia kitu ambacho kilinifurahisha kwenye huu mwaka mmoja wa RC Makonda ni kuona jinsi alivyokuwa anazunguka kwa wananchi kwa ajili ya kutafuta kero za Wananchi, pia kingine ni kuhusu hii ishu ya Dawa za Kulevya nampongeza sana Makonda wewe ni shujaa ishu ya Dawa za Kulevya si mchezo” Temba alisema.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi