Picha Hizi ni Ishara tosha kuwa Wema Sepetu ni Binti Mrembo Zaidi Tanzania

Ingawa ni mwanamke ambaye amekuwa na scandals mingi, ni kweli kuwa Wema Sepetu ni binti ambaye ameumbwa kama malkia na ambaye anatambulika Afrika Mashariki na wengi.

Alipoanza career yake kama model sio wengi walidhania kwamba binti huyu angeleta mabadiliko mengi katika burudani ya Bongo. Wema Sepetu si model tu bali mwigizaji na kwa hivi mwanasiasa.

download latest music    

Hata hivyo, yeye ni fashion killa na mwanamke ambaye anajitambua. Akitembea mitaani watu wengi huduwaa kutokana na urembo alionao.

Nimeweza kupata picha kadhaa kama mfano kuonyesha mbona Binti huyu anaurembo watu wengi hutamani. Ingawa hukubaliani na mimi, pia ni sawa kila mtu ana maoni yake. Tazama picha hizi hapa.

 

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua