Picha tano za Vanessa Mdee akivaa nguo ya nusu utupu akiwa Nigeria

Vee Money ameachia picha mpya ambazo zimezua utata kwenye mitendao za kijamii. Mwibaji huyo wa Bongo flava ambaye anafanya poa katika anga za kimataifa, yuko nchini Nigeria kwa sasa.

Mdee, aliyekua na show nchini humo siku ya Pasaka, alionekana akivaa mavazi hayo ambayo hayakubaliki kwa jamii.

download latest music    

 

Baadaye Mdee alionekana kwa beach na maceleb wawili wa kiume kutoka Marekani. Vee Money alikua amevaa nguo za nusu utupu  alipokua akijivinjari na Diplo.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere