Professor Jay azungumzia wimbo wake mpya na uanasiasa

Professor Jay (Joseph Haule) ametoa wimbo mpya. Msanii huyo ambaye aliteuliwa mbunge wa Mikumi kwa tikiti cha Chadema miaka mbili iliopita, alizungumzia wimbo yake mpya “Kibabe” and uanasiasa alipohojiwa kwenye redio.

download latest music    

Jay alifunguka kuhusu kazi yake kama mbunge na kuandika wimbo.

“Kitu kikubwa ambacho namshukuru ni kwamba am blessed, yani hii vitu vipo. I am blessed kwa sababu situmii muda mwingi. Mr. T tayari yuko njiani anaweza akaja kwa muda sio mrefu… atakwambia jinsi amabvyo nifanya hii kibali. Yani mara mingi nikipewa pen na karatasi kitu kinaisha kwa sababu huwa ni migodi unaotembea… ni kisima cha mashairi. Kwa hivyo no problem kwa maana tunafanya kazi na wanainchi sana tunapata muda kidogo tunatupiatupia vitu kama hivi,” Professor Jay alisema.

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere