Rich mavoko aeleza kwa ukamilifu kwa nini aliamua kuumpa mwanawe jina la babake Dokii

Hii leo, 19th April 2017, Rich Mavoko alikuwa mgeni kwenye Clouds FM ambapo alizungumzia mambo mbali mbali ikiwemo mtoto wake.

Alieleza kwa ukamilifu aliwita mwanawe Wency, jina la babake Dokii na akaeleza ya kwamba yeye na Dokii ni Ndugu na ilifaa kumpea babake heshima.

download latest music    

Pia soma: Huu ndio ujumbe Rich Mavoko alioutoa kwa wasanii wote wa Tanzania…mpaka bosi wake Diamond

Pia alizungumzia wimbo wake mpya Show me ambao ameshirikiana na Harmonize na akaeleza ya kwamba ana matumaini ya kubadili style yake ya muziki na pia image yake kama msanii.

”Nimeamua mwenyewe nibadilishe muonekano wangu wa nywele. Kuhusu cheti nilichopata kwenye Jiwe La Mwezi, kwangu ni kitu kikubwa sana na asanteni kwa kutupa thamani wasanii.” Alieleza.

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi