Ruby amkana Ali Kiba

Hellen George maarufu kama Ruby amefunguka na kuweka wazi uhusiono wake na staa wa Bongofleva Ali Kiba. Uvumi mitendao ulikuwa unasema kuwa Ruby na Ali Kiba ni wapenzi.

Akiongea na Swaggaz, Ruby alisema hana ukaribu wowote na hit make huyo wa ‘Aje’. Mrembo huyo alisema hata hajawahi kuwa na mawasiliano na Kiba.

download latest music    
Ruby

Rubi alipuuza uvumi mitendaoni kuhusi uhusiano wake na Ali Kiba, alisema kuwa watu walishawahi sema yupo karibu sana na Diamond Platnumz .

“Na mimi taarifa hizo nimekuwa nikiziona kama wewe ulivyoziona, sioni jipya kwasababu walishawahi kusema kuwa nipo karibu sana na Diamond, sasa wamegeukia kwa Kiba ambaye hata mawasiliano yake sijawahi kuwa nayo,” Ruby alisema.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere