Shilole afunguka kuhusu sababu zilizopelekea yeye kushindwa kutoa wimbo na Jennifer Lopez

Shilole anasema kuwa alikutana na meneja wa Jennifer Lopez aliposafiri kuenda Marekani  – sababu ya mkutano wao ulikuwa kuwezesha kolaba kati ya J-Lo and Shilole.

Akiongea kwenye kipindi cha Kikaangoni, Shilole alisema alishindwa kufanya kazi na Jennifer Lopez kwasababu hakuwezi kuridi Marekani tena.

download latest music    

Shilole alieleza kuwa mambo ya familia na shuguli zake za kimuziki hapa Tanzania zilimuzuia kurudi Marekani kufanya kolabo na J-Lo. Alisema sasa anamtafuta Nicki Minaj kufanya kazi naye.

“Aisee ilishindikana maana mimi sikupata muda tena wa kwenda Marekani kwani kuna mambo yangu nilikuwa nafanya hapa nyumbani ya kimuziki na familia, hivyo muda ukawa unanipita hivi na ukiangalia Jennifer mwenyewe naye ndiyo kwanza alikuwa katoa ule wimbo  ‘Ain’t Your Mama’ nikaona tusisumbuane sana mwache tu aendelee na mambo yake mimi nitamtafuta Nick Minaj popote alipo” alisema Shilole.

Jennifer Lopez

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere