Ujumbe Ne-Yo alitoa baada ya Diamond Kuzindua Chibu Perfume

Wiki iliyopita Diamond alizindua manukato yake ya Chibu perfume katika sherehe moja pale GSM ambayo ilihudhuriwa na washika ndau wengi pale Tanzania.

Watanzania wengi na watu wengio humo nje walimpigia kifua kwa kujikakamua na kumtia motisha aendelee hivo hivo.

Mmoja wao alikuwa msanii wa Marekani ambaye alimpigia debe aendelee na kazi mzuri aliyoianza.

Mtazame Diamond akielezea hilo kwenye interview na Millard Ayo: