Huu ndio ujumbe ambao Davido alimwandikia Wema Sepetu

Msanii kutoka Nigeria Davido amewaacha wengi wakiongea baada ya kuacha maoni yake chini ya picha moja ya Wema Sepetu hivi karibuni. Muimbaji huyu ambaye amefanya kazi na wasanii kadhaa kutoka Afrika mmoja wao akiwa Diamond Platnumz amewaonyesha wengi kuwa anaweza kuwa anamtamani Sepetu baada ya ujumbe wake.

Wema
Wema Sepetu

Davido kama shabiki wa Wema aliweza kumfurahisha Malkia huyu wa filamu baada ya kumsifu kwa maneno yaliyodhibitisha kuwa mrembo huyu anadhamani ya juu. Aliandika kusema,

Hii inakuja baada Wema Sepetu aliwaambia mashabiki wake wamuombee apate mtu mzuri ambaye anaweza kutulia na yeye akiongezea kusema pia awe pia na hela za kutosha. Hata hivyo hakuna anayejua ikiwa wawili hawa huongea lakini ujumbe huo wa Davido umekuthibitisha kuwa Wema Sepetu ni mwanamke anayetambulika na wengi.