Hii ndio sababu Faiza Alley anasema kuwa wasanii wa Tanzania hawana ubunifu

Faiza Ally ambaye ni mama ya watoto wawili hivi karibuni aliwachana wasanii wa Tanzaniak kwa kudai kuwa hawana ubunifu wowote wa kutafuta Kiki.

Mrembo huyu aliandika haya kupitia Instagram account alisema;

Faiza Alley

“Nilichogundua sasa hivi kutokana na kipindi ninachosikilizaga redioni ni kwamba wasanii Watanzania hawana akili za ubunifu katika kutafuta kiki, zaidi ya wanaume kutoka na wanawake maarufu na wanawake maarufu zaidi ya kutoka na wanaume maarufu.”

Akamalizia kwa kusema;

“Unapokuwa msanii kiki ni moja ya kazi lakini jaribu kuwa mbunifu kidogo zaidi ya uroda! Sema naomba mnisamehe ni ile uhuru wa kuongea tu sijamlenga mtu lakini najua kuna mstari wa kujifunza”

Faiza Alley ajifungua mtoto wa pili (video)

Mrembo wa Tanzania na pia malkia wa Filamu Faiza Alley amejufingua mtoto wa pili kulingana na ujumbe alioweka mtandaoni wake wa Instagram.

Faiza Ally
Faiza Ally

Faiza ambaye anatambulika na wengi kutokana na mavazi yake ya kushangaza alitangaza habari hizi kwa kuweka video fupi ya mtoto huyo akiwa hospitalini, na kuandika

“ALHAMDULILLAH @lijunior_ well come to the world baby.”

Faiza amejiunga na wanawake maarufu bongo waliobahatika kupata watoto mwaka huu. Tazama video hiyo hapa;

https://instagram.com/p/BXUSHSigswW/