Idris Aongea na Hamisa, Amsapoti Kama Maskini Mwenzake.

Mchekeshaji maarufu nchini idris sultani ameamua kuvunja ukimya baada ya kuamua kumpa maneno ya faraja mwanadada Hamisa Mobeto kutokana na biashara zake na mambo ya upinzani yanayoendelea katika mitandao ya kijamii.

Kupitia ukurasa wake wa instagram, idris sultan aliandika maneno hayo ikiwa ni njia ya kumtia moyo  mwanadada huyo kutokana na safari yake ya muziki na ujasiriamali aliyoiazisha.

naomba niwe wa kwanza kabisa kukusapoti ili baadae unapoanza kuchukua matuoz usitusahau masikini wenzako.mwanzo sio mwepesi lakini kamamsiamamizi wa mpesa vodacom ninaweza kusema yajayo yanafurahisha.nitashangaa kuona watu wanakukejeli kwenye hii hatua yako , sijui wanataka utembee barabarani unauza naniliii.

katika hatua zako za mafanikio, jua sana kuchuja maneno, kama kweli umekubali kuanza muziki basi kazz na utatoboa tu kwani hao wengine ni wakina nani,wengine tulianza na wala hatukubaliki tutoe msaada wa nguo zetu tubaki watupu ila unakazaa tu baada ya muda unaanza kuokota fans  mmoja mmoja wawili mwishowe unajikuta una mamilion.

hamisa mobeto amekuwa moja ya wasichana wanaoandamwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na kila hatua anayoipiga na hayo yote yalianza baada ya kuzaa na Diamond platnumz.

“You are a super powerful mom” Idris Sultan amwandikia Zari ujumbe wa kumtia nguvu baada ya mama yake kufariki

Sio katika wote utampata Idris Sultan akiwa serious. Wakati wote mchekeshaji huyu huwa na utani mwingi hasa kupitia mtandao wake wa Instagram.

Hata hivi leo ameonekana kuonesha kuwa pia yeye anaweza kuwa mtu wa kumtia nguvu kupitia maneno yake. Leo amemwandikia Zari ujumbe ambao umewaacha wengi kama wameduwaa baada.

Idris alifanya hivi baada ya Zari kuwajulisha mashabiki wake kuwa mama alifariki leo asubui. Mchekeshaji huyo aliandika kusema;