Hata siku Moja Marehemu Hakunifanya Niamini Kuwa Ana Mtoto Mkubwa Hivi:-lemutuz

Mwanamitandao maarufu nchi Tanzania, Le Mutuz amefunguka na kusema kuwa amekuwa na mahusiano na Agnesss Masogange kwa muda mrefu lakini marehemu hakuwahi kumwambia wala kumuamisha kuwa anaweza kuwa na mtoto mkubwa kiasi hicho.

Lemutuz amabe anakiri kuwa wasanii wengi wamejitoa sana katika msiba huu wa mpendwa wake na serikali pia katika kutoa misaada, anawapa hongera na pole nyingi waombelezaji lakini bado anakuwa anashangazwa kwamba kwanini agness hakuwa anataka kuwaonyesha watu kuwa ana mtoto mkubwa.

kabla sijaendelea mimi sio mnafiki, nimemjua marehemu kwa muda mrefu sana , lakini marehemu  HAKUNA HATA SIKU MOJA MAREHEMU ALIWEZA KUNIFANYA NIAMINI KUWA ANA MTOTO MKUBWA  kama ninavyojua sasa, na nimejua baada ya yeye kutangulia mbele ya haki.ni makosa sana kuilaumu maiti lakini wadada wa mjini jifunzeni kuwa proud na maisha yenu, mnapopost picha zenu huko instagram jitahidini kuonyesha kuwa mnawatoto ili tujue na kuwapend akila siku sio tunakuja kusapotiana kwa suprise.

Lemutuz Amkosoa Mh.Shonza, Ahusishwa Kufungiwa Kwa Wasanii na Bifu binafsi

Mambo ni moto, huku waziri mwakyembe akimtuhumu Diamond kulewa na umaarufu na kufanya abishae na Naibu waziri ambae anawakilisha Serikali, bado huko katika mitandao ya kijamii wata wamezidi kuonyesha hisia zao juu ya jambo hilo kwa kudai kuwa naibu waziri anatafuta kiki.

Mwanahabari wa Tanzania, le mutuz ameibuka na kudai kwa Naibu Waziri amekuwa akitumiwa na watu wenye chuki kubwa na muziki wa diamond ili kuua muziki wake na sio vinginevyo.Le Mutuz anasema kuwa  huu ulikuwa ni wakati wa serikali kuona mchango wa Diamond hasa baada ya kuchaguliwa kwenda kufanya show ya ufumbuzi wa kombe la Dunia.                                                                                                     

 

Lemutuz ambae amesema kuwa pamoja na kwamba Mh Juliana Shonza ni mwana CCM mwenzake lakini anaona kabis katika hili la kuwafungia na kubishana na Diamond katika mitandao ya kijamii haiwezi kunyamaza kimya.

Hata hivyo Lemutuz amemhusisha julana shnza na moja ya kiongozi wa kituo flani cha radio “MUNGU MTU” ambacho hajakitaja na kusema kuwa wamekuwa wakishirikiana hili kumtua diamond katika nafasi kubwa ya mafanikio ya kimuziki aliyonayo.