Picha 7 za AY na mpenzi wake ambaye anataka kufunga na yeye ndoa

Wambeya wanasema kuwa safari ya AY kuingia kwenye maisha ya ndoa yaanza kunukia. Hit maker huyo wa ‘Zigo’ alionekana kwa harusi ya Professor Jay akiwa na mpenzi wake huyo.

Black Rhyno – ndugu mdogo wa Professor Jay, alisema kuwa AY alimwambia wakiwa kwa harusi ya Jay kuwa anataka kufunga ndoa na mpenzi wake

“Muda uliopita nilikuwa naongea na AY hapa akawa ananiambia na yeye soon anafunga ndoa na mpenzi wake. Kwa hiyo mimi naweza kusema kila kitu kinakuja kwa wakati,” Black Rhyno aliambia Bongo5.

Tazama picha za AY na mrembo wake hapo chini: