Nuru The Light Aguswa na Matatizo Ya Q-Chillah

Mwanamuziki wa Bongo fleva mwenye makazi  yake  nchini Sweden aliyetamba na kibao chake cha Mhogo mtamu, Nuru The Light amefunguka kuguswa na kuimizwa na majanga yaliyomkuta Q challah.

Mwanzoni mwa wiki hii Q chief alifanya Interview na Bongo 5 na kufunguka mazito kuhusu maisha yake ikiwemo jinsi madawa ya kulevya yalivyo muharibia maisha yake na kusababisha kuacha mziki na kukimbiwa na mke wake.

Nuru The Light ni moja kati ya watu walioguswa na janga hilo lililomkuta Q chillah na kuwataka watu wampe sapoti kwani nafasi bado ipo ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika ujumbe huu:

Naandika this with heavy heart.Jana usiku sana nimeona interview mbili tofauti na Q Chief maisha yake kwasasa na Changamoto anazopitia. HE Spoke Very open na kwa unyenyekevu kuhusu kuacha MZIKI. INDUSTRY YA MZIKI INA SIRI NYINGI NA CHANGAMOTO NYINGI SANA. INDUSTRY hii INA watu wazuri na Wabaya Pia.

Q imeniuma kuwa unajiona huwezi au unakosea wakati you are The Real talent kwani Industry yetu inawatu wanaoweza kukufanya uonekane huwezi au uangamie kabisa na nimesikitishwa kuwa They took one of The best.Umekiri ulikosea kwa kutumia madawa na kuacha tuna wasanii wakubwa kwenye kila tasnia ndani na nje wanaotumia na walitumia na bado wanafanya shughuli zao vizuri tu.Your misstake should not define you or Your talent.

Q bado nafasi yako ipo na bado uwezo unao.Nyie ndio mliopigania huu MZIKI sasa kwanini Leo hii msile yale matunda.Kuanzisha kitu na kukipigania na kuonwa kizuri sio kazi ndogo kabisa naomba mjivunie hilo wasanii wa zamani na hata wajinga pumbavu mashabiki wakiwatukana kwa kutumia maneno YA umefulia,zilipendwa dont ever feel that kwani kazi mloifanya ni kubwa mnaijua kuliko anybody else.Ningependa ujue kutoka kwangu mie that I love you, I appreciate you, Respect you vilevile natambua nafasi yako kwenye MZIKI wa Bongoflava.

My People Q anatuhitaji sisi more than ever let US support kazi yake mpya Saratani akiitoa cause inawezekana kuwa his last“.