shilawadu Kuanza ndani ya DSTV

Kile kipindi pendwa cha burudani na umbea kilichokuwa kikiruka katika channel ya clouds tc sasa hivi kitaanza kurushwa katikamchannel 160 y DST kufuatiwa na watangazaji hao kupata mkataba wa kufanya kazi huko

Hii ni hatua kubwa kwa watangazaji wa vipindi vya umbea hasa shilawadu kwa sababu habari za mastaa na wasanii mbalimbali kwa sasa kitaanza kuonekana dunia nzima .

Kipindi icho ambcho kimekuwa na manufaa sana kwa ajamii kwa sasa kwa sababu licha ya kuwa kimekuwa kikiongelea mambo wanayofanya wasanii lakini kwa sasa akimekuwa kikigusa pia maswala mbalimabli ya jamii.

Kipindi icho kitaanza kurushwa siku ya ijumaa ya tarehe 14 december katika channel 160 ya DSTV.

 

SHILAWADU Wachezea Kipigo Kitakatifu Kutoka Kwa Mose Iyobo

Shirika la Wambe Duniani (SHILAWADU) ni kipindi kinachorushwa na kituo cha televisheni cha Clouds TV ambacho kinaongelea habari za kimbea kuhusiana na mastaa mbali mbali wa Bongo.

Kipindi hiko kina watangazaji wawili ambao ni Soudy Brown na qwisar. Vijana hao wawili usiku wa Jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kuambulia kipondo kitakatifu kutoka kwa mcheza shoo kutoka WCB Mose Iyobo.

Siku chache zilizopita Tunda na Aunty Ezekiel pamoja na Iyobo waliingia kwenye vita ya maneno baada ya kudaiana chupa ya pombe ya iliyokuwa ina thamani ya tshilingi laki moja. Inadaiwa kuwa Tunda alikopa chupa hiyo na kushindwa kuilipa kwa wakati halo iliyosababisha Aunty Ezekiel kumwashia moto Instagram.

Inadaiwa baada ya sakata hili Shilawadu walifika Dukani kwa Aunty Ezekiel ili wamhoji lakini waliambulia kipigo, Mange Kimambi kaandika taarifa hiyo kama ifuatavyo:

Mose Iyobo kawapa kichapo Shilawadu unaambiwa bonge la ugomvi fujo hapo Dukani kwa Aunty Kinondoni, watu ndio wakaja kuamua na wakashindwa kumhohi Iyobo unaambiwa Qwisar kala vichwa viwili vya kijeshi, Soudy kala mtama double double alikuwa anageukia hewani, basi Shilawadu walijua wanaenda dukani wakamhoji Aunty kumbe yupo China”.

Baada ya sakata hilo time nzmia ya Shilawadu imeachia ujumbe huh kwenye mitando ya kijamii kuhusu kizaazaa hiko;

Kazi yetu ina changamoto kubwa sana, asilimia kubwa ya mastaa wanatuunga mkono, kwa kufanya maamuzi wanayoyataka kulingana na moods wanazokuwa nazo tunapowafata bila kutudhuru. Usiku wa leo tulipokuwa kazini mwagwa damu na mtu tuliyeenda kufanya naye mahojiano kati yetu kuna walioumia mikono, viuno n.k kuna uharibifu wa vifaa vyetu vya kazi umetokea wenzetu wanaendelea na matibabu Mungu ni mwema na hili nalo litapita, bado tuna wasiwasi Kama mhusika atakuwa anaendelea kututafuta atudhuru zaidi. Tunasikitishwa na matumizi makubwa ya nguvu dhidi yetu sisi wanyonge wa Shilawadu”.