Huzuni tele baada ya Tanzania kujumuishwa kwenye list ya nchi zisizokuwa na furaha duniani

List ya Nchi zilizo na furaha na huzuni duniani ilitolewa leo,March 20,2017 na Tanzania ilitokea kwenye hiyo list.

Na sio kwa nchi zenye furaha sana lakini nchi zenye huzuni sana. Iko nambari mia moja hamsini na tatu mbele ya nch mbile pekee; Burundi na Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Imejumuishwa na nchi zingine za Afrika kama Rwanda na Togo na Guinea.

Kwa mujibu wa ripoti ya BBC imetoa list ya viwango vya furaha kwenye nchi zote duniani na hapa nimekuwekea hapa nchi 20 zenye watu wenye furaha na wasio na furaha duniani:

Tanzania