Hii ndio picha ya Wema Sepetu akivuta sigara ambayo inawazingua wengi mitandaoni

Wema Sepetu anaongelewa sana mitandaoni na ni baada ya picha yake akivuta sigara kuibuka mitandaoni.

Picha hiyo ilitolewa na Soudy Brown na ilifanya mafans wengi wa Wema Sepetu kuhisi vibaya kuona star wao akifanya kitendo hicho cha kuvuta sigara mbele ya watu.

Baadaye lakni ilitokea ya kwamba picha hip ilikuwa moja ya scene ya filamu Wema amehusishwa.

Tazama hii picha hapa:

 

Mi nae mchokoziii ?

A post shared by President / Rais Wa Shilawadu (@soudybrown) on