Tazama picha za ‘pacha’ wake Wema Sepetu

Image: Wema Sepetu

Inasemekana kila mtu duniani anafanana na mwingine japo hawana uhusiano wowote kijamii.
Wakati mwingi,mtu hutupiwa picha akaambiwa,’angalia mbona huyu mnafanana?’

Wema Sepetu
Wema Sepetu

Na sio jambo geni,imetokea mara nyingi hata hapa Tanzania,ila, mrembo Lisa Deedee aka `Tuerny’ amejipatia umaarufu baada ya kusemekana kuwa ni pacha wa kipenzi cha wengi Tanzania,Wema Sepetu,unakubali,hasa huo mwanya?

download latest music    
Tuerny
Tuerny

Tuerny anasema,’Nakumbuka mwaka 2012 niliweka picha mtandaoni, mama akanitumia sms kwamba ninafanana na Wema, nilishtuka lakini tangu hapo akawa kama amebariki hicho kitu. Nilishangaa kila sehemu niliyokwenda watu wananiambia nafanana na Wema.’

Tuerny msichana anayefanana na Wema Sepetu
Tuerny msichana anayefanana na Wema Sepetu

Mrembo huyu amesema kuwa,hajawahi kukutana na Wema ila hapo nyuma watu walipoanza kunifananisha naye, alifurahi akawa ana-comment kwenye picha zake kwenye mtandao wa Instagram.

Kipindi hicho,akawa ananisifia naye anamjibu, lakini kutokana na maneno ya watu kama ilivyo kawaida ya wabongo na issue ya kutoleana povu,akachukia na kunipotezea…Tuerny amedai.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua