TIDAL – tovuti ya kuuza muziki inayomilikiwa na Jay Z yamsifu sana Ali Kiba

TIDAL inatambua Ali Kiba, Mtanzania huyo alisifiwa sana na tovuti hiyo ya kimataifa ambayo huuza muziki ya wasanii wanaotajika ulimwengu nzima.

TIDAL , ambayo inamilikiwa na Jay Z, ilimsifu Ali Kiba wakati akishiriki katika moja ya tamasha la muziki ambalo lilifanyika London nchini Uingereza wiki iliyopita.

download latest music    
Jay Z

“The unstoppable AliKiba is live right now in London” mtandao wa TIDAL uliandika wakati Alikiba akitumbuiza kwenye stage.

Wasanii wakubwa kama P Square, Davido, Awilo Logomba, Sarkodie, Cassper Nyovest na wengine pia walitumbuiza mashabiki katika tamasha hilo la muziki.

 

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere