“Unatisha sana Jux wewe hatari mnoo” Mashabiki watoa maoni yao baada ya Jux kuachia video mpya

Juma Mussa maarufu kama Jux ameachia video mpya wa wimbo unaitwa “Umenikamata”. Maoni ya mashabiki ni dhibitisho kuwa wimbo huo ni kali.

Fran k fran k:  niskize ninavyo imba na pia ninavyo piga gita naona watu wamependeza face zao zime jaa furaha najua ujui leo hii kita tokea nn I do this for u juma juma unajua bro much respect bro

download latest music    

frank msafiri: umenikumbusha napata raha nilikua naisikiza mpaka sio poa / nice work

George Lyimo: Unatisha sana jux wewe hatari mnoo….. Big up….

Iam Rogerz: all the way from USA watching Kali sana

Gilbert Boniphace:  Hujawahi niangusha …Much respect to you JUX. kill them all…nice and great job

Abdallah Juma: Kazi nzuri brother..nmependa uwepo wa akina benpol,barnaba,kamikaze.. dah na mashairi mazur sana asante hii namdedicate mu wife asee

Thobias Mwacha: kali mzee jux nakukubali balaaa hatari mzee baba

Georgina shi: my best musician  thanks for the good music dearest!???

Amisi Steven: umenikamata

Godfrey Yuvenali: video Kali nyimbo Kali wewe   mwenyewe mkali very good

Edward dixonfaithfull gichallu mlg: huyu ndiye jux nayemjua Mimi!

 

Tazama hapa chini video yake Jux uone kama utakubaliana na maoni ya mashabiki hawa:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere