Wema Sepetu amsifu Martin Kadinda katika ujumbe alioamwandikia kusheherekea siku yake ya kuzaliwa

Image: Wema Sepetu

Aliyekuwa manager wa Wema Sepetu, Martin Kadinda hivi leo amesherekea siku yake ya kuzaliwa na kama kawaida marafiki wake wa dhati wamekuwa wakimpost kwenye Instagram huku wakimsherekea leo.

Wema Sepetu ni mmoja wa marafiki waliompost Martin Kadinda. Katika ujumbe wake, Wema Sepetu alimsifu Martin na kumfungulia roho katika ujumbe wake uliowaacha mashabiki na tabasamu. Aliandika kusema,

Wema sepetu akiwa na Martin Kadinda

download latest music    

The World Knows How I feel about You… I have nothing more to add to dat… I love you more everyday than yesterday… (Mi nakupenda Leo kuliko Jana, ?) Happy Birthday wa kwangu mimi apa…. Wa Sunny, Wa Sunshine, Kaka manager wa kwanza kabisa duniani… Yaani hapa natafuta maneno mapya mapya ambayo sijawahi kukwambia ila najikuta nakosa maana yote nishamalizaga… Basi wacha niache kutype….

Wawili hawa wamekuwa marafiki kwa miaka mingi na ata baada ya Martin kuanza biashara zake, bado wako pamoja kama ndugu na dada.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi