Wema Sepetu might soon get married to this popular radio presenter. Look at how he proposed

Clearly you haven’t made as a celebrity unless you infuse the name Wema Sepetu in your song. Diamond did it, so did Ali Kiba and Ray Vanny as well. Mind you all these are A listers in Tanzania.

A popular radio presenter in the country, Haji Manara it seems also learnt from the best and has invoked Wema Sepetu’s name in his business. He was ranting against Tanzania Football Federation (TFF) specifically how they are learning the local league in Tanzania.

And he had a few ultimatums under his sleeve. First of all, he would walk to the TFF offices without his shirt if no action was taken and if they continued to dilly dally, he would propose to Wema Sepetu.

Wema Sepetu love life
Haji Manara, the radio presenter that wants to propose to Wema Sepetu.

He is a smart guy so he was open to the idea that she would say no and in the event that happened, then he would surely now not only remove his shirt but also his boxers.

Here is his post on Instagram that’s making rounds online (mind you it’s in Swahili):

Wema Sepetu proposed to Haji Manara
The post Haji Manara made on Instagram.

ATIBA TU NI MUHALI,,HAYO MENGINE KWETU SI BAHARI ??* Haji S Manara. Kuna kurogwa na kujiroga, Kuna kufa na kujiua pia kulia na kuliliwa, sisi watanzania hakika tupo katika fungu la pili, fungu la kukosa , fungu mzigo, tunajiroga, tunajiua na tunaliliwa

Hakika hatujui tunataka nini, hatujui malengo yetu lakini kubwa hatujui hata tutokapo wala tuendako, na leo naandika kitu kidogo tu kinachotushindwa kwenye soka letu, RATIBA

Wakati wenzetu wanazungumzia changamoto nzito na kubwa katika maendeleo yao ya mchezo murua zaid duniani wa soka, Watanzania tunahangaika namna ya kupanga ratiba ya mechi zetu za ligi yetu na kombe la shirikisho,

Ratiba inayobadilishwa kama nguo, tena mvaaji mwenyewe ni mbunifu wa mavazi au mwanamitindo ambaye huvaa nguo tano kwa siku, siku za nyuma niliwahi kuwaambia CLOUDS FM kuwa iwapo ratiba ya Ligi kuu nchini haitopanguliwa nitatembea bila shati toka Mtaa Msimbazi hadi zilipo ofisi za TFF.

Nilidhani Kwa kusema vile walau TFF na bodi ya Ligi wataona haya na kuhakikisha ratiba ya Ligi kuu haitabadilishwa tena, kumbe ndio kwanza wakubwa wameweka gundi masikioni, toka wakati ule ratiba ishafumuliwa mara tatu.

Leo hii imebadilishwa tena kwa kisinguzio kile kile eti ratiba za CAF na za ligi zimeingiliana, ninajiuliza iwapo ratiba ya Ligi yetu ni shida kuipanga, vipi kuhusu program nyingine za maendeleo? Itakuwaje kuhusu timu yetu ya taifa juu ya ndoto zetu za mchana wa jua kali? vipi kuhusiana na zile programu hewa za soka la vijana, watoto na wanawake?

Hakika kwetu hayo ni sawa na bahari ya Mediteranean au bahari kuu ya hadithi za Alfu Leila uleila, hatuwezi ratiba tutaweza kwenda AFCON 2019? hatuwezi kupanga ratiba tutaweza kuwa na mipango madhubuti ya kuendeleza mchezo huu ambao yatajwa watu bilioni tatu duniani kote wanaushabikia?

Nimalizie Kwa kuwapa mtihani mwingine TFF na bodi ya Ligi, iwapo Kama ratiba yao ya Ligi kuu na Kombe la shirikisho haitabadilishwa kuanzia sasa hadi mwisho wa msimu, nItamposa mlimbwende Wema Sepetu, na akikubali nitamuoa, akikataa nitatembea na boxer toka nyumbani kwangu hadi TFF..

 

 

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi